Video | Raymond – ‘Kwetu’

Msanii wa bongo fleva Raymond ambaye mwanzo alikuwa katika kundi la Tip top Connection na baadaye kujiunga na lebo ya WCB ‘Wasafi Classic Baby’ ambayo iko chini ya usimamizi wa Diamond Platnumz ambaye anafanya vizuri sana katika tasnia ya muziki wa Tanzania. Raymond ambaye amejaribu kufwata nyayo za kiongozi wao wa WCB na kutoa video kali.

Unaweza kuitazama vide hii hapa:

Video | Raymond – ‘Kwetu’ Video | Raymond – ‘Kwetu’ Reviewed by Admin on 4:38:00 AM Rating: 5